🔖 Latest Blog Posts

MATOKEO YA MIDTERM

HABARI MZAZI/MLEZI Matokeo ya mtihani wa MIDTERM yameshatoka kwa madarasa yote Awali Hadi la Saba. Hivyo, ni nafasi yako sasa ya kuangalia matokeo ya mwanao na kufuatilia maendeleo yake.
Hatua za kuingia kwenye mfumo wetu wa matokeo (mwanzugi.com):
• Fungua Google/Chrome kwenye simu au kompyuta yako.
• Andika neno mwanzugi.com kisha ingia.
• Bonyeza sehemu ya "student"
• Ingiza jina la mtumiaji (username) na neno la siri (password) ulilopewa na shule.
• Ubonyeza kwenye neno" pre necta"
• Baada ya kuingia, utapata matokeo ya mwanao pamoja na ripoti ya maendeleo yake.

Blog Image Posted on September 3, 2025, 4:49 am

TAARIFA KWA WAZAZI/WALEZI WA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA

Karibu mzazi
Matokeo ya darasa la saba ya mtihani wa Pre-necta yameshatoka. Hivyo, ni nafasi yako sasa ya kuangalia matokeo ya mwanao na kufuatilia maendeleo yake.
Hatua za kuingia kwenye mfumo wetu wa matokeo (mwanzugi.com):
• Fungua Google/Chrome kwenye simu au kompyuta yako.
• Andika neno mwanzugi.com kisha ingia.
• Bonyeza sehemu ya "student"
• Ingiza jina la mtumiaji (username) na neno la siri (password) ulilopewa na shule.
• Ubonyeza kwenye neno" pre necta"
• Baada ya kuingia, utapata matokeo ya mwanao pamoja na ripoti ya maendeleo yake.
Umuhimu wa kutumia mfumo huu:
✔️ Unakupa taarifa za haraka na sahihi za matokeo.
✔️ Husaidia mzazi kufuatilia maendeleo ya kitaaluma ya mtoto hatua kwa hatua.
✔️ Ni njia salama na ya kidijitali inayokuwezesha kujua changamoto na mafanikio ya mwanao mapema ili kuchukua hatua stahiki.
✔️ Mfumo unapatikana muda wowote, popote ulipo.

MWANZUGI MAENDELEO,MAENDELEO MWANZUGI

Blog Image Posted on August 22, 2025, 10:23 am

TAARIFA KWA MZAZI

Karibu mzazi
Matokeo ya darasa la nne ya mtihani wa Pre-Mock yameshatoka. Hivyo, ni nafasi yako sasa ya kuangalia matokeo ya mwanao na kufuatilia maendeleo yake.
Hatua za kuingia kwenye mfumo wetu wa matokeo (mwanzugi.com):
• Fungua Google/Chrome kwenye simu au kompyuta yako.
• Andika neno mwanzugi.com kisha ingia.
• Bonyeza sehemu ya "student"
• Ingiza jina la mtumiaji (username) na neno la siri (password) ulilopewa na shule.
• Ubonyeza kwenye neno" pre mock"
• Baada ya kuingia, utapata matokeo ya mwanao pamoja na ripoti ya maendeleo yake.
Umuhimu wa kutumia mfumo huu:
✔️ Unakupa taarifa za haraka na sahihi za matokeo.
✔️ Husaidia mzazi kufuatilia maendeleo ya kitaaluma ya mtoto hatua kwa hatua.
✔️ Ni njia salama na ya kidijitali inayokuwezesha kujua changamoto na mafanikio ya mwanao mapema ili kuchukua hatua stahiki.
✔️ Mfumo unapatikana muda wowote, popote ulipo.

MWANZUGI MAENDELEO,MAENDELEO MWANZUGI

Blog Image Posted on August 22, 2025, 7:28 am

TAARIFA

“Habari, zoezi la usahihishaji wa mitihani ya majaribio ya darasa la nne na la saba linaendelea kwa uangalifu mkubwa. Lengo ni kuhakikisha kila mwanafunzi anapata mrejesho sahihi ili kuboresha uwezo wake. Tuwatie moyo watoto wetu kwa kuwahimiza kusoma kwa bidii zaidi, kwani juhudi zao za leo ndizo mafanikio ya kesho.”
🔱MWANZUGI PRIMARY SCHOOL🔱

Blog Image Posted on August 21, 2025, 9:03 am

TAARIFA KWA WAZAZI NA WALEZI

UJUMBE KWA WAZAZI WA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA NA DARASA LA NNE
Wazazi /Walezi,
Tunapenda kukujulisha kuwa bado tunaendelea na mitihani ya maandalizi kwa ajili ya kuwaweka sawa wanafunzi wetu ili wazidi kuwa bora kitaaluma na kifikra.
Utaratibu wa matokeo utakapo tayari:
• Utapokea SMS ya taarifa kwamba matokeo yametoka.
• Fungua Google/Chrome kwenye simu yako.
• Tafuta neno: mwanzugi.com
• Ingia kwenye tovuti kisha chagua “student”.
• Weka (username) na neno siri (password) kuangalia matokeo.
Kumbuka: Utaratibu ni uleule kama ulivyokuwa awali.
🌹 “Mafanikio ya mwanafunzi ni tunda la mshikamano kati ya mzazi, mwalimu na mwanafunzi mwenyewe. Tukisimama pamoja, tutavuna matokeo bora.” 🌹

Blog Image Posted on August 20, 2025, 6:11 pm

TAARIFA

TAARIFA
Tarehe 15/08/2025, siku ya Ijumaa, katika Shule ya Msingi mwanzugi kimefanyika kikao cha tathmini ya kazi za kila idara kwa kipindi cha Julai – Agosti 2025.
Kikao hiki kililenga kupitia mafanikio yaliyopatikana, changamoto zilizojitokeza pamoja na kuweka mikakati madhubuti ya kuboresha utendaji katika kipindi kijacho. Viongozi wa idara mbalimbali walitoa taarifa zao na mjadala wa pamoja ulifanyika kwa lengo la kuinua kiwango cha taaluma na maendeleo ya shule kwa ujumla.
Kwa pamoja, kikao kiliwahimiza walimu na wafanyakazi wote kuendelea kushirikiana, kuongeza bidii na kuhakikisha shule inaendelea kuwa mfano bora katika elimu na malezi ya mtoto.
Kikao hichi kiliongozwa na:
MWL MKUU: SAID MUNENE

Blog Image Posted on August 16, 2025, 8:34 am

TAARIFA KWA WAZAZI

Habari
Leo tarehe 14.08.2025, shule ya msingi Mwanzugi imefanya kikao cha kitaaluma kwa wazazi wa wanafunzi wa Darasa la Pili, kikiongozwa na Mwalimu Mkuu Said Munene pamoja na walimu wake. Lengo kuu lilikuwa kuwajulisha wazazi maendeleo ya watoto wao kitaaluma na kujadiliana njia bora za kuongeza ufaulu zaidi kwa wanafunzi katika masomo yao pia waweze kufanya vizuri kwenye mtihani wao wa mwisho wa kumaliza darasa la pili.
"Elimu bora ni urithi wa thamani zaidi kwa mtoto."

Kwa mawasiliano zaidi piga simu zifuatazo:
0753576431-MWL MKUU MWANZUGI
0757177828-MWL MKUU MSAIDIZI
0621092667-KATIBU MSAIDIZI WA TAALUMA (MWL WA MIFUMO)

Blog Image Posted on August 14, 2025, 1:33 pm

TAARIFA KWA WAZAZI

Habari mzazi,
Unaombwa kuingia kwenye mfumo wetu wa matokeo ili kuangalia alama za mwanao kwa Testi 1 na Testi 2 za darasa la saba. Tafadhali tembelea mfumo wetu kupitia 'mwanzugi.com' tuliyokupa awali. Asante kwa ushirikiano wako.

Blog Image Posted on August 14, 2025, 10:05 am