Mwalimu mkuu siku ya ijumaa Tarehe 07/02/2026 amewagaia wanafunzi wa Memkwa vifaa vya kujifunzia vilivyotelewa na shirika UNICEF ambalo husaidia wanafunzi wa Memkwa kuwamotisha na kuwahamasisha kuipenda shule kwa kugawa vifaa vya kujifunzia
Pia amewaambia wanafunzi hao kuwahamasisha watoto ambao bado wapo majumbani kuanzia miaka 7 hadi 13 waje kuandikishwa ili wapate elimu
Wanafunzi wa Memkwa Shule ya Msingi Mwanzygi waishukuru UNICEF kwa kuwapatia vifaa vya kujifunzia
Posted on February 8, 2026, 11:47 amMwlimu Daniel Gailigi Chacha akifundisha darasa la kwanza sauti za herufi
Wazazi na walezi zoezi la uandikishaji bado linaendelea hivyo njoo umuandikishe mwanao
Tunaandikisha Darasa la Awali, Darasa la kwanza na Memkwa
Kuanzia miaka minne Hadi kumi na tatu
Mwalimu Fatuma Mohamed
Posted on February 5, 2026, 12:43 pmMwalimu Fatuma Mohamed
Posted on February 5, 2026, 10:56 am
Nembo ya shule ya Msingi Mwanzugi
Posted on February 4, 2026, 4:07 pmMwalimu mkuu akielezea faid za kutumia mfumo wa matokeo kwa shule ,mwalimu na kwa mzazi
Posted on February 1, 2026, 6:54 pmWalimu wakijipa furaha baada ya kazi
Posted on February 1, 2026, 6:19 pmWanafunzi wakiingia darasani na mtindo wao mzuri wa Treni
Posted on February 1, 2026, 6:13 pm