TAARIFA KWA WAZAZI NA WALEZI
π March 19, 2026 at 11:49 am
πΌ Image
Uongozi wa Shule ya Msingi Mwanzugi unapenda kuwajulisha wazazi, walezi, wanafunzi pamoja na wadau wote wa elimu kuwa kutakuwa na mechi ya kirafiki ya mpira wa miguu kati ya:
Mwanzugi Primary School π St. Joseph
π
Tarehe: (19.03.2026)
π Muda: (saa 5 asubuhi)
π Mahali: (uwanja wa mwanzugi sm)
Lengo la mechi hii ni kukuza vipaji vya wanafunzi, kuimarisha afya, nidhamu pamoja na kujenga urafiki na mshikamano kati ya shule hizi mbili.
Pia kutakuwa na burudani mbalimbali kama riadha nk
Hamasa kubwa kutoka kwa mashabiki, pamoja na fursa ya kuona vipaji chipukizi vikionyesha uwezo wao uwanjani.
Karibuni sana tushuhudie mchezo wa kuvutia, wa ushindani wa kirafiki lakini wenye ubora wa hali ya juu!
βMichezo ni afya, umoja na furaha kwa watoto wetu.β