🔖 Latest Blog Posts

Showing 2 of 32 posts

TAARIFA KWA WAZAZI

Habari
Leo tarehe 14.08.2025, shule ya msingi Mwanzugi imefanya kikao cha kitaaluma kwa wazazi wa wanafunzi wa Darasa la Pili, kikiongozwa na Mwalimu Mkuu Said Munene pamoja na walimu wake. Lengo kuu lilikuwa kuwajulisha wazazi maendeleo ya watoto wao kitaaluma na kujadiliana njia bora za kuongeza ufaulu zaidi kwa wanafunzi katika masomo yao pia waweze kufanya vizuri kwenye mtihani wao wa mwisho wa kumaliza darasa la pili.
"Elimu bora ni urithi wa thamani zaidi kwa mtoto."

Kwa mawasiliano zaidi piga simu zifuatazo:
0753576431-MWL MKUU MWANZUGI
0757177828-MWL MKUU MSAIDIZI
0621092667-KATIBU MSAIDIZI WA TAALUMA (MWL WA MIFUMO)

Blog Image Posted on August 14, 2025, 1:33 pm

TAARIFA KWA WAZAZI

Habari mzazi,
Unaombwa kuingia kwenye mfumo wetu wa matokeo ili kuangalia alama za mwanao kwa Testi 1 na Testi 2 za darasa la saba. Tafadhali tembelea mfumo wetu kupitia 'mwanzugi.com' tuliyokupa awali. Asante kwa ushirikiano wako.

Blog Image Posted on August 14, 2025, 10:05 am